Breaking News

Ludacris ashtakiwa kwa kuiba wimbo "Sex Room" mwaka 2009

Rapper kutoka Atlanta, Ludacris ameshtakiwa na msanii emcee Marvo kwa kuibwa wimbo "Sex Room" aliouachia mwaka 2009. Marvo anadai yeye ndio alitoka na idea ya kwanza (2009) ya wimbo huo ambao Luda amemshirikisha Trey Songs.
Kutokana na mtandao wa AOL, Marvo alikuwa akifanya kai na producer anaeitwa Kajun ambae mwisho wa siku alimgeuka na kumpa wimbo huo Ludacris, na licha ya kumpa wimbo huo, hajapokea hela yoyote ya malipo kwa kuutumia wimbo huo, licha ya kuwa Luda ametumia mashairi yake mengi.
Kiasi cha pesa anachokidai bado hakijajulikana

No comments