Rapper Nay Wa Mitego na mchumba wake Siwema wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume tarehe 28/10/2014 ambaye ni siku ya kuzaliwa ya mama mzazi wa Ney Wa Mitego.
Ney Wa Mitego Na Siwema Wapata Mtoto Wa Kiume, tazama picha za mtoto wao hapa.
Reviewed by Isubamen
on
10/31/2014
Rating: 5
No comments