Breaking News

CHEKA UONGEZE SIKU ZA KUISHI 9

 Mwalimu mmoja wa shule zetu kama nilizosoma mimi shule za msingi yani alimuagiza mwanafunzi wake akichanganya lugha ya kiswahili na kiingereza...... MWALIMU; we Evarist nifatie stick nimtandike huyu John MWANAFUNZI: mwalimu sasa hapa ni mbali na dukani ntazipata wapi hata hela hujanipa MWALIMU: nimesema lete stick alaaa BASI MWANAFUNZI AKAKIMBIA NYUMBANI KWAO KUCHUKUA STICK ZA KUCHOKONOLEA MENO........ BAADA YA MUDA KAMA DK 30 AKARUDI SHULE ......MWALIMU: enhee we ulifata mpaka wapi na mbona hujaileta MWANAFUNZI: mwalimu nyumbani ni mbali sana lakini hata hvyo mama kanipa haka kapakti kazma...... MWALIMU AKASHNDWA HATA KUMCHAPA

No comments