1. BABA:"Mbona unafeli kila mtihani mwanangu?" MTOTO:"Sababu sina akili." BABA:"Ooh,sasa ngoja nikupige fimbo za kutosha ili uwe na akili mshenzi wewe!" MTOTO:"Ingekuwa fimbo ndio humfunza mtu kuwa na akili,basi punda na farasi wangekuwa MAPROFESA."
CHEKA UONGEZE SIKU ZA KUISHI 12
Reviewed by Isubamen
on
5/18/2015
Rating: 5
No comments