Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana
na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text
missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake
lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu,
"some text missing too dear"
CHEKA UONGEZE SIKU ZA KUISHI 5
Reviewed by Isubamen
on
5/18/2015
Rating: 5
No comments